NU Audio: Khalifa Juma (CT) "NEXT LEVEL" {OFFICIAL}

Hii ni Baada ya kutinga jijini Dar es salaam na EBSS 2013, Ingawa alishindwa kuingia Top 20, ila ilikuwa poa sana. Na hii ni ngoma yake mpya kati ya alizowahi kuzitoa kimtaa. Support muziki wake kwa kudownload ngoma hiyo hapa...

MPYA KUTOKA KWA WASTARA HII HAPA:

Maisha yake yalikumbwa na mikasa mbalimbali kutokana na kuugua, mume wake Sajuki kufariki dunia pamoja na mikasa mingine ambayo ilimkumba kwa miaka ya hivi karibuni.

Check hii Picture: Hii ni zaidi ya Cartoon +=%#@^


RIP S.A.C.P James Kombe,

Aliyewahi kuwa Kamanda wa Polisi Kikosi cha usalama barabarani, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) mstaafu James Kombe amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Ocean Road jijini Dar es Salaam.

Video: Godzilla ft. Walter "THANKS GOD" Official

Madam Ritha: Msiogope Maadui, ameitoa kwa D. Carnegie

Katika UKURASA wake wa FaceBook, Madam Rita ameandika Hiviii..
"Usiogope maadui ambao wanakushambulia. Ogopa marafiki ambao wanakusifia. " - Dale Carnegie

STRESS za Mapenzi kwa Diamond Plutnumz, Zinamfanya aendeleekuandika Ujinga Mitandaoni, Check kama hii


Morning watu wangu wa kweli..!!Sote tunakubaliana na ukweli kuwa mapenzi yanaumiza sanaaa.

siyo?so nataka nione likes na coments za wale walio experience maumivu ya mapenz ukicoments uliumizwa kwa kisa kipi
na ni wimbo wangu upi ukiuskiliza unakufariji ama unakukumbusha ulivyoumizwa.
na mlioumiza wenzenu mwaweza shiriki pia.
twenzetu!!!!!
#WCB for life baby

BOKO HARAMU WAUA WENGINE 19, BAADA YA 80 WA JUZI

WATU 19 wameuawa na wanamgambo wa Boko Haram katika jimbo la Borno nchini Nigeria, kwenye kizuizi cha barabarani walichokuwa wameweka.
 
Wanamgambo hao, wamewaua watu 5 kwa kuwapiga risasi na kuwanyonga wengine 14 na baadae walitokomea baada ya kupata taarifa za wanausalama kuja eneo la tukio.

DUNIA NZIMA MTU MMOJA ANAKOSA CHAKULA KATI YA WATU 8

Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa  zaidi ya asilimia 12 ya jamii ya watu duniani,  wanakabiliwa na njaa.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Jose Silva, ameeleza kuwa, kutokana na wastani huo, ina maana kwamba mtu mmoja kati yawatu 8 ana tatizo la ukosefu wa chakula.

Mkurugenzi huyo amesema kuwa, watu milioni 840 wanakabiliwa na ukosefu wa chakula kwa mwaka huu ambapo idadi hiyo imepungua kutoka watu milioni 870 kwa mwaka jana.

InfoGramme: FAMILIA WAMEKUFA KWA MOTO MBEYA

WAKAZI wa Ilemi, jijini Mbeya mkoani hapa, Fadhir Said na mke wake, Lucy Said, wamefariki dunia baada ya kuungua na moto baada ya nyumba yao kushika moto na kuwaka usiku wa kuamkia leo.

Check Story ya Mtangazaji anayedai kupigwa risasi 2nduma


Mwandishi wa gazeti la Uhuru mjini Tunduma, katika wilaya mpya ya Momba mkoani hapa,  Shomi Mtaki, amepigwa risasi baada ya kuvamiwa na majambazi shambani kwake.

Kingine alichoandika Diamond kwenye Instagram kuhusu picha zake na Wema muda mfupi uliopita...

Baada ya picha kusambaa kwenye internet zikimuonyesha Diamond na Wema Sepetu wakiwa pamoja na stori nyingine zikisema wamerudiana, Diamond amepost hii picha na kuandika.
Baada ya picha kusambaa kwenye internet zikimuonyesha Diamond na Wema Sepetu wakiwa pamoja na stori nyingine zikisema wamerudiana, Diamond amepost hii picha na kuandika..

John Mnyika: Alichoandika FaceBook leo, uhusiana na Baraza la Vijana

Pamoja na kuzinduliwa maonyesho ya wiki ya vijana jana, ni muhimu kuhoji utekelezaji wa maazimio Baraza la Vijana yaliyopitishwa Iringa 1998.

Pili, Napenda kutakia kheri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kuzindua leo Taasisi "Confucius Institute". Ni vyema ikawa fursa ya kuchochea zaidi ya lugha na tamaduni za kichina
.

AUDIO: Hii ndio Ngoma ya DIAMOND aliyoilalamikia imevuja

SKILIZA NA DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED (Hylands)

HIKI Ndicho alichoandika Diamon Plutnumz kuhusiana na UVUMI mitandaoni juu ya MAHUSIANO yake ""I REAL LOVE MY PENNY,SIJARUDIANA NA WEMA""


"Kumekuwa na Uvumi na Habari nyingi sana 
Mitandaoni na Kwenye Media tofauti... kwamba mimi na Mwanadada
Wema Sepetu tuna mahusiano ya Kimapenzi, kitu
ambacho Sikweli na taarifa hizo ni za uongo.. uvumi huu ulianza kisa tu 
yeye kucomment kwenye Account yangu ya Instagram?..

Hebu tujifunze kubadilika, inamaana watu mkiwa hamko
kimahusiano ya Mapenzi basi msizungumze ama Kushiriki kwa chochote? 
Futeni huo uzamani na Mbadilike, inamaana 
Mnapenda kuona watu wanauadui... nimuda
wa kufanya kazi ili Kulipa sifa na heshima Taifa la Tanzania.
na si kuekeana chuki zisizo nanfaida..”
”I REAL LOVE MY PENNY,SIJARUDIANA NA WEMA."

Mzee Majuto atangaza kugombea ubunge mwaka 2015..

Habari tulizozipata zinasema kuwa gwiji la sanaa za vichekesho nchini, Amri Athumani 'King Majuto' ametangaza kugombea ubunge kwa 2015. Muigizaji huyu mkongwe mzee Majuto ametangaza  kugombea ubunge jimbo la Tanga mjini.

Majuto  mwenye umri  zaidi ya miaka 60 ametangaza nia yake hiyo alipohojiwa na Clouds, na akadai atagombea kupitia CCM. Bado tunamtafuta mzee majuto ili aweze kututhibitishia kama habari hizi ni kwa kweli au la na kama ni kweli ana mipango gani na jimbo hilo la Tanga mjini.

NU VIDEO: Top C "WAPI ULIPO" Comming soon JOH!!

Baada ya kimya cha muda mrefu, Msanii Top C anatarajia kuachia VIDEO ya wimbo wake mpya, Wapi Ulipo. Top C kwa sasa yupo nchini Kenya akiwa chini ya CandynCandy Records…

Rest in Peace BABA Mzazi wa 20 Percent

Tunampa pole msanii 20% kwa kufiwa na baba yake mzazi mzee Khamis Kinzasa aliyefariki jana Jumapili. Mazishi yanatarajiwa kufanyika leo huko Kimanzichana.

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA