ALICHOANDIKA WALTER KTK BLOG YAKE YA chilambo.blogspot.com

NAOMBA niwaahidi mashabiki wangu kuwa hivi karibuni kama MUNGU  akipenda ndani ya hizi wiki mbili (2) nitaachia ngoma yangu mpya ya kwanza Officially na naamini kama itakuwa poa kwa jitihada zangu katika hilo

Nitatoa maelezo yote ya nyimbo hiyo hapahapa kabla hata ya kuitoa kama nimetengeneza wapi na Producer gani na jua kuwa utakuwa utunzi wangu mimi mwenyewe.
Pia kuhusiana na Collabo yangu na Ben Pol, Hata kabla Ben Pol kusema kuwa anataka Collabo na mimi, Yeye ni moja kati ya wasanii ninao wakubali na ndio maana hata wimbo wake ulikuwepo katika listi ya nyimbo zangu nilizoimba FINALE.
Ben Pol akimtuza Walter siku ya FINALE
Hivyo kwa sasa naona ndoto zangu zinatimia, hivyo watu wangu wategemee ngoma yangu na Ben Pol kwani kilichobaki ni kuongea nae na kufanya kazi tuu,Jua kuwa NIKIKUPATA ya BEN POL  ni wimbo ulonifanya kuwa STAR kuliko nilivyofikilia.
Nawapenda sana watu wangu na nawaomba tuendelee kuwa pamoja katika kazi zangu kwani jua kabisa kuwa hakuna MIMI bila WEWE.

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA