MADAM RITA Afunguka Sababu zilizomfanya Kuhamia TBC1 mwaka huu kutoka ITV kipindi chanyuma

Madamu Rita wa Epiq Bongo Star Search kaelezea sababu zilizofanya kipindi chake hicho kuanza kurushwa na TBC1 jumapili hiina isiwe ITV kama ilivyokuwa kipindi cha nyuma.. 
Bencmark Productio CEO Madam Rita Paulsen

Katika mtandao wa FaceBook ktk Page yake ameandika maneno yafuatayo..

""Baada ya kusoma maoni yenu, ningependa kufafanua sababu mbili za kurusha Epiq Bongo Star Search 2013 kupitia kituo cha Televisheni cha TBC1.

Kwanza kabisa ni sababu za kibiashara ndio zimepelekea kipindi cha EBSS kurushwa kupitia TBC1 na sababu ya pili ni kwamba baada ya kwenda kidigitali, TBC1 sasa inapatikana kwenye ving'amuzi karibia vyote vikiwemo Star Times, DSTV na Zuku.

Nashukuru sana kwa maoni yenu mlioyatoa na mmesikika. Nawatakieni siku njema!""

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA