John Mnyika: Alichoandika FaceBook leo, uhusiana na Baraza la Vijana

Pamoja na kuzinduliwa maonyesho ya wiki ya vijana jana, ni muhimu kuhoji utekelezaji wa maazimio Baraza la Vijana yaliyopitishwa Iringa 1998.

Pili, Napenda kutakia kheri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kuzindua leo Taasisi "Confucius Institute". Ni vyema ikawa fursa ya kuchochea zaidi ya lugha na tamaduni za kichina
.

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA