HEMEDI: Video ValentineDay
Hemed Suleiman baada ya kuachia ngoma yake mpya mwaka jana inayokwenda kwa jina la Going Crazy kutoka B hits, sasa basi anatarajia rasmi kuachia video yake mpya siku ya tarehe 14 Valentine Day.Kaa tayari kwa ujio huu mpya kutoka kwa PHD.
COMING SOON: FA - The Finest
Kama wewe ni
shabiki wa Mwana FA basi huu ndiyo ujio wake mpya 2013 ambao anatarajia
kuuachia siku za hivi karibuni kaa tayari kwa ujio kutoka kwa msanii huyu.
HUU NDIO WIMBO WA WABABA MTUKA, NO 3 EBSS 2012
![]() |
| Wababa Mtuka mshiriki na mshindi wa tatu wa Epiq BSS 2012 |
INTRO:
Ema the boy mmh! mmh!
VERSE 1
Kiukweli sina hata la kusema my wife
Ajali nyingi za mapenzi nilopata unajuaaa
ooh! unajuaa ! machozi niliyoliaa!
Usiku na mchana usibhabhakulunjalibhan
Baby usije kata tamaaa Vulu vulu vulu!
CHORUS
I say you are my wife {i say my wife}
Ukiniacha ntaliaaa {i say my wife}
you are my my my wife aaai {i say my wife}
Lele lele my my my wife Eeeh! {i say my wife}
VERSE 2.
Iye he! Kama mapenzi ni kung'ang'ana { Basi ng'ang'ana
Na kama mapenzi unajua sana { Basi kazana
Mukikiki, nasijawahi,mapenzi yako sioni tena
Omwanajhonteme,nakupenda Habibi uhibuk { Nakuwaza}
Naweza wa hatakwanaino { Hata kwanaino}
Halikosi na mikingamo { Nami kingamo}
Nawahi wahi,watusome,pia wajue,wanipa raha
Ninachotaka,jitulize,jiwekebize, hapontafurahiiii
Ey Vulu vulu vulu.
CHORUS
I say you are my wife {i say my wife}
Ukiniacha ntaliaaa {i say my wife}
you are my my my wife aaai {i say my wife}
Lele lele my my my wife Eeeh! {i say my wife}
VERSE 3.
Iye he! Zito haliwi zito kwanza mpaka lipimwe
Tabia ya mtu ni kama ngozi ukiweza fasta ivue
Nai na nai nai nai nai x2
Ukiona nyani porini najiweka Ujue na ficha mkia wangu
{ Nai na nai nai nai nai }x2
Mh uko fitifiti kwa kitikiti, Unahitihiti, kwa mutimuti
Yani huchoshi choshi, Sikoshikoshi
Nikilala shishishi,Unatishitishiii Eeeh aaaaah
CHORUS
I say you are my wife {i say my wife}
Ukiniacha ntaliaaa {i say my wife}
you are my my my wife aaai {i say my wife}
Lele lele my my my wife Eeeh! {i say my wife}
Ema the boy mmh! mmh!
VERSE 1
Kiukweli sina hata la kusema my wife
Ajali nyingi za mapenzi nilopata unajuaaa
ooh! unajuaa ! machozi niliyoliaa!
Usiku na mchana usibhabhakulunjalibhan
Baby usije kata tamaaa Vulu vulu vulu!
CHORUS
I say you are my wife {i say my wife}
Ukiniacha ntaliaaa {i say my wife}
you are my my my wife aaai {i say my wife}
Lele lele my my my wife Eeeh! {i say my wife}
VERSE 2.
Iye he! Kama mapenzi ni kung'ang'ana { Basi ng'ang'ana
Na kama mapenzi unajua sana { Basi kazana
Mukikiki, nasijawahi,mapenzi yako sioni tena
Omwanajhonteme,nakupenda Habibi uhibuk { Nakuwaza}
Naweza wa hatakwanaino { Hata kwanaino}
Halikosi na mikingamo { Nami kingamo}
Nawahi wahi,watusome,pia wajue,wanipa raha
Ninachotaka,jitulize,jiwekebize, hapontafurahiiii
Ey Vulu vulu vulu.
CHORUS
I say you are my wife {i say my wife}
Ukiniacha ntaliaaa {i say my wife}
you are my my my wife aaai {i say my wife}
Lele lele my my my wife Eeeh! {i say my wife}
VERSE 3.
Iye he! Zito haliwi zito kwanza mpaka lipimwe
Tabia ya mtu ni kama ngozi ukiweza fasta ivue
Nai na nai nai nai nai x2
Ukiona nyani porini najiweka Ujue na ficha mkia wangu
{ Nai na nai nai nai nai }x2
Mh uko fitifiti kwa kitikiti, Unahitihiti, kwa mutimuti
Yani huchoshi choshi, Sikoshikoshi
Nikilala shishishi,Unatishitishiii Eeeh aaaaah
CHORUS
I say you are my wife {i say my wife}
Ukiniacha ntaliaaa {i say my wife}
you are my my my wife aaai {i say my wife}
Lele lele my my my wife Eeeh! {i say my wife}
KUHUSU DIAMOND NA WOLPER
Diamond
Amekanusha Uvumi kuwa anamahusiano ya Kimapenzi na Jaqueline Wolper Nakusema
Kuwa Picha zilizo onyweshwa kwenye magazeti ni za video ya Keisha 'Nimechoka'
aliyo Shirikishwa Diamond. Plantnumz amesema video shoot ya wimbo huu ilianza
Miezi miwili iliyopita na kuja kukamilika wiki Mbili zilizo pita na ndio scene
ya video hio inamuonyesha akiwa karibu na Wolper.
![]() |
| Hiki ndicho kilichoandikwa Gazetini.. |
Pia
Diamond amesema Msichana yoyote atakaye sema ni Girl Friend wake kwa sasa Ni
Muongo kwani yeye yupo single kwa sasa na hana mpango wa kutangaza Mpenzi wake
atakaye mpata. Diamond Alikaririwa na sammisago.com akisema `Simba akiwa Karibu
na Swala, Watu wanadhani Anamla, Ila Kuna Muda Simba Anashiba'
MILLARD-MIAKA YANGU 6 NYUMA
ALICHOANDIKA MILLARD AYO
KATIKA PAGE YAKE YA FACEBOOK LEO Ni moja kati ya post zisizo na picha lakini imepata LIKES, COMMENTS na SHARE nyingi kuliko zote alizowahi kuandika.
HIKI ndicho alichoandika..(MAISHA NA MAPENZI)
"Miaka
6 iliyopita wiki kama hii ndio nilipata tuzo ya kwanza ya Utangazaji
kutoka Tanzania Radio Awards, nikapandishwa mshahara toka elfu tano
mpaka elfu kumi kwa wiki kwenye radio niliyokua nikifanyia kazi,
sikutamani kufanya kazi nyingine japo nilikua naishi kwenye hali ngumu
sana, niliahidi nitapambana ili nifanikiwe kwa hii kazi kwa sababu
naamini Mungu ameweka kitu ndani yangu, nasema Amen leo nina maisha
ninayoridhika nayo kabisa tena sana, Namshukuru Mungu sana kwa hilo! hii
ni maalum kwa watu wangu wote wa nguvu ambao wanapitia shida, hawana
kazi au wanafanya kazi lakini mafanikio hawayaoni, wanatafuta kazi kila
siku hawapati, ukweli ni kwamba SUBIRA ni kila kitu, Nidhamu ni kila
kitu, Maombi ni kila kitu, Kujituma ni kila kitu! kutokakuta tamaa ndio
muhimu kabisa."
SHILOLE&CHILLAH - DUDU Video
Official Video ya msanii SHILOLE feat. CHILLAH. Nyimbo inaitwa DUDU na audio imetengenezwa na C9 wa KIRI RECORDS. Video imefanywa na KWETU STUDIOS, Directed by Msafiri Shabani.
RAY C AMSHUKURU KIKWETE KWA KUSAIDIA KUPONA KWAKE
Msanii wa kike wa kizazi kipya, Rehema Chalamila maarufu kama Ray C, amemshukuru sana rais kwa kumsaidia kupona kwake leo alipopata nafasi ya kumtembelea Ikulu.
Ray C ni moja kati ya watu waliokuwa waathirika wa madawa ya kulevya kupelekea afya zao kuwa mbaya..
![]() |
| Ray C kulia akiwa na Rais Kikwete. |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Bibi wa Ray C, Rais Kikwete, RayC na Dada yake. |
R.I.P. MZEE ELEBUWA NOLLYWOOD
Mwigizaji
nguli toka nchini Nigeria Enebeli Elebuwa (65) amefariki dunia usiku wa
kuamkia leo huko nchini India kutoka na ugonjwa wa kupooza uliompata
mwaka 2011.
Alianza kuigiza mwaka 1967 na alikuwa anavutia sana akiigiza kama mfalme au 'pedeshee' na filamu nyingi ameigiza hivo.
Hizi ni baadhi ya filamu alizowahi igiza Lost Kingdom, Abuja Connection, Sensational, Dons in Abuja, The Corridors of Power, Men Do Cry, Who Will Tell The President, and Royal War.
Alianza kuigiza mwaka 1967 na alikuwa anavutia sana akiigiza kama mfalme au 'pedeshee' na filamu nyingi ameigiza hivo.
Hizi ni baadhi ya filamu alizowahi igiza Lost Kingdom, Abuja Connection, Sensational, Dons in Abuja, The Corridors of Power, Men Do Cry, Who Will Tell The President, and Royal War.
YOUR NEW MAISHA PLUS STAR
Bereniki
Kimiro ndiye ametangazwa kuwa mshindi wa Maisha Plus kwa mwaka 2012 kwa
kuwashinda wenzake.
Nafasi ya pili imechukuliwa na Venance Kimaro na nafasi ya tatu imekwenda kwa Justine ambaye anatoka mkoani Dodoma.
Kila la Kheri bibie na hizo Mil. 20...
Nafasi ya pili imechukuliwa na Venance Kimaro na nafasi ya tatu imekwenda kwa Justine ambaye anatoka mkoani Dodoma.
Kila la Kheri bibie na hizo Mil. 20...
ALICHOANDIKA WALTER KTK BLOG YAKE YA chilambo.blogspot.com
NAOMBA niwaahidi mashabiki wangu kuwa hivi karibuni kama MUNGU akipenda
ndani ya hizi wiki mbili (2) nitaachia ngoma yangu mpya ya kwanza
Officially na naamini kama itakuwa poa kwa jitihada zangu katika hilo
Nitatoa maelezo yote ya nyimbo hiyo hapahapa kabla hata ya kuitoa kama
nimetengeneza wapi na Producer gani na jua kuwa utakuwa utunzi wangu
mimi mwenyewe.
Pia kuhusiana na Collabo yangu na Ben Pol, Hata kabla Ben Pol kusema
kuwa anataka Collabo na mimi, Yeye ni moja kati ya wasanii ninao
wakubali na ndio maana hata wimbo wake ulikuwepo katika listi ya nyimbo
zangu nilizoimba FINALE.
![]() |
| Ben Pol akimtuza Walter siku ya FINALE |
Nawapenda sana watu wangu na nawaomba tuendelee kuwa pamoja katika kazi zangu kwani jua kabisa kuwa hakuna MIMI bila WEWE.
CHEKA NA ABBY
Zuzu mmoja alipita sehemu flani akakuta
watoto wanacheza, akawadangaya wale
watoto,
"Nyie nendeni kule kuna chakula
kinagawanywa." Wale watoto kuskia hivyo wakatimua
mbiooo! Zuzu kuona watoto wametoka mbio
akajisemea moyoni,"Mbona wanakimbia
mbio sana labda kuna chakula kweli." Naye akaanza kukimbia ili kuhakikisha kama
kipo kweli.....
watoto wanacheza, akawadangaya wale
watoto,
"Nyie nendeni kule kuna chakula
kinagawanywa." Wale watoto kuskia hivyo wakatimua
mbiooo! Zuzu kuona watoto wametoka mbio
akajisemea moyoni,"Mbona wanakimbia
mbio sana labda kuna chakula kweli." Naye akaanza kukimbia ili kuhakikisha kama
kipo kweli.....
MTOTO MIAKA 5 AGONGWA NA KUFA.
Na Abbin Nelson, Mbeya.
Mtoto wa miaka mitano, Peresi Antony, amegongwa na gari na kufa papo hapo katika maeneo ya kijiji cha Shamengo wilaya ya Mbeya vijijini kutokana na mwendokasi wa dareva, Mini Mussa (36) ambaye amekamatwa na yupo chini ya ulinzi wa polisi kwa ajili ya uchunguzi wa ajali hiyo.
Mashuhuda ambao ni majirani na maeneo ambapo ajalio imetokea walisema kuwa dereva huyo alikuwa katika mwendo mkali sana kiasi kwamba hata ajali ilivyotokea huwezi kusema kuwa ni kwa bahati mbaya.
Mtoto wa miaka mitano, Peresi Antony, amegongwa na gari na kufa papo hapo katika maeneo ya kijiji cha Shamengo wilaya ya Mbeya vijijini kutokana na mwendokasi wa dareva, Mini Mussa (36) ambaye amekamatwa na yupo chini ya ulinzi wa polisi kwa ajili ya uchunguzi wa ajali hiyo.
Mashuhuda ambao ni majirani na maeneo ambapo ajalio imetokea walisema kuwa dereva huyo alikuwa katika mwendo mkali sana kiasi kwamba hata ajali ilivyotokea huwezi kusema kuwa ni kwa bahati mbaya.
Mwili wa marehemu mtoto Peresi umehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya mkoani hapa kwa ajili ya maandalizi ya mazishi.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Advocate Nyombi amethibitishakutokea kwa tukio hilo na kuwaonya madereva kutoendesha magari kwa mwendo mkali hata kama sio magari ya abiria.
LALA PEMA PEPONI BABA
Subscribe to:
Posts (Atom)











