R.I.P. MZEE ELEBUWA NOLLYWOOD

Mwigizaji nguli toka nchini Nigeria Enebeli Elebuwa (65) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko nchini India kutoka na ugonjwa wa kupooza uliompata mwaka 2011.

Alianza kuigiza mwaka 1967 na alikuwa anavutia sana akiigiza kama mfalme au 'pedeshee' na filamu nyingi ameigiza hivo.


Hizi ni baadhi ya filamu alizowahi igiza Lost Kingdom, Abuja Connection, Sensational, Dons in Abuja, The Corridors of Power, Men Do Cry, Who Will Tell The President, and Royal War.

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA