RAY C AMSHUKURU KIKWETE KWA KUSAIDIA KUPONA KWAKE

Msanii wa kike wa kizazi kipya, Rehema Chalamila maarufu kama Ray C, amemshukuru sana rais kwa kumsaidia kupona kwake leo alipopata nafasi ya kumtembelea Ikulu.
 
Ray C ni moja kati ya watu waliokuwa waathirika wa madawa ya kulevya kupelekea afya zao kuwa mbaya..
Ray C kulia akiwa na Rais Kikwete.
Kutoka kushoto ni Bibi wa Ray C, Rais Kikwete, RayC na Dada yake.

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA