YOUR NEW MAISHA PLUS STAR

Bereniki Kimiro ndiye ametangazwa kuwa mshindi wa Maisha Plus kwa mwaka 2012 kwa kuwashinda wenzake.

Nafasi ya pili imechukuliwa na Venance Kimaro na nafasi ya tatu imekwenda kwa Justine ambaye anatoka mkoani Dodoma.

Kila la Kheri bibie na hizo Mil. 20...

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA