HUU NDIO WIMBO WA WABABA MTUKA, NO 3 EBSS 2012

Wababa Mtuka mshiriki na mshindi wa tatu wa Epiq BSS 2012

INTRO:                                                  
Ema the boy mmh! mmh!
VERSE  1
 Kiukweli sina hata la kusema my wife
Ajali nyingi za mapenzi nilopata unajuaaa  

ooh! unajuaa ! machozi niliyoliaa!
Usiku na mchana usibhabhakulunjalibhan
Baby usije kata tamaaa Vulu vulu vulu!

 CHORUS
I say you are my wife                        {i say  my wife}
Ukiniacha ntaliaaa                            {i say  my wife}
you are my my my wife  aaai            {i say  my wife}
Lele lele my my my wife Eeeh!          {i say  my wife}

VERSE 2.
Iye he!  Kama mapenzi ni kung'ang'ana { Basi ng'ang'ana 

Na kama mapenzi unajua sana { Basi kazana
Mukikiki, nasijawahi,mapenzi yako sioni tena
Omwanajhonteme,nakupenda Habibi uhibuk { Nakuwaza}
Naweza wa hatakwanaino { Hata kwanaino}
Halikosi na mikingamo { Nami kingamo}
 Nawahi wahi,watusome,pia wajue,wanipa raha
Ninachotaka,jitulize,jiwekebize, hapontafurahiiii
Ey Vulu vulu vulu.

CHORUS
I say you are my wife                        {i say  my wife}
Ukiniacha ntaliaaa                            {i say  my wife}
you are my my my wife  aaai            {i say  my wife}
Lele lele my my my wife Eeeh!          {i say  my wife}

VERSE 3.
Iye he!  Zito haliwi zito kwanza mpaka lipimwe

Tabia ya mtu ni kama ngozi ukiweza fasta ivue
Nai na nai nai nai nai x2
Ukiona nyani porini najiweka Ujue na ficha mkia wangu
{ Nai na nai nai nai nai }x2
Mh uko fitifiti kwa kitikiti, Unahitihiti, kwa mutimuti
Yani huchoshi choshi, Sikoshikoshi
Nikilala shishishi,Unatishitishiii Eeeh aaaaah

CHORUS
I say you are my wife                        {i say  my wife}
Ukiniacha ntaliaaa                            {i say  my wife}
you are my my my wife  aaai            {i say  my wife}
Lele lele my my my wife Eeeh!          {i say  my wife}

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA