Wliokufa KENYA Idadi imefikia 59, 175 Majeruhi

MWANAMKE MAJERUHI AKIOMBA MSAADA...
Idadi ya waliofariki Kenya yaendelea kuongezeka.... katika shambulizi la kigaidi lililotekelezwa na wanamgambo wa kiisilamu wa Al Shabab.... Kwa mujibu wa serikali watu 59 wamefariki sasa na wengine 175 kujeruhiwa. Zaidi ya elfu moja wameweza kuokolewa......

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA