WALOKUFA KENYA WAFIKIA 68, WAMAREKANI WAHUSIKA KUSHAMBULIA, Mateka wanaendelea kuokolewa

Idadi ya watu waliopoteza maisha nchini Kenya kutokana na shambulio la ugaidi la Al Shabab imeongezeka na kufikia 68, na uokoaji unaendelea vizuri. Kundi la Alshabab limedai kuwa miongoni mwa wafuasi wakewalioteketeza shambulio hio watatu ni raiawa Kimarekani, FBI wachunguza.

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA