TABASAMU: Infogramme na Abby


Mtoto katoka shuleni huku analia, alipofika nyumbani. Baba yake akamuuliza ''unalia nini'? MTOTO '' Nimepigwa na mwalimu na nimeambiwa twende wote shuleni''. Wakaenda shuleni na wakaingia ofisini. MWALIMU ''Karibuni, mtoto wako tumemuuliza Nairobi iko wapi kashindwa, ndio maana tumemchapa'' Baba akamgeukia mtoto wake na kumpiga vibao, akamwambia ''mpumbavu mkubwa, kila siku nakukataza kuchezea vitu vya watu hukomi, haya NAIROBI ya mwalimu umepeleka wapi'?

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA