LULU: Mtetezi wangu MUNGU Pekee, Asanteni WaTanzania mlio nami

LULU: Akiongea na waandishi kwa Huzuni baada ya kukabidhiwa
kwa Mama yake mzazi Leo  baada ya jana masuala kusuasua.
Muda mchche baada ya kukabidhiwa kwa mama yake mzazi, msanii Lulu amesema anawashukuru sana watanzania wanaoendelea kuwa pamoja na yeye na kusema kuwa anamtegemea sana Mwenyezi Mungu kwani yeye ndiye mtetezi wake na kuwa yeye anajua Ukweli kuhusu suala linalomkabili.

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA