AJABU: Jamaa ataka kumuua mwanasiasa wa Bulgaria, Ahmed Dogan akiwa jukwaani akitoa hotuba

Mtu asiyefahamika aliibuka jukwaani na kumnyooshea bastora mwanasiasa Ahmed Dogan  wa nchini Bulgaria na kutaka kumuua kwa kumuelekezea kichwani na baadae ukatokea mkanganyiko na kushindwa kufanikiwa. Chanzo cha tukio hilo bado hakijafahamika. Angalia video hii ujionee.....

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA