UWOYA aapa kufa na kupona, kupambana na SHIGONGO baada ya kutoa siri nzito baina yao



Muigizaji wa Bongo Movie, Irene Uwoya, ameapa kutoa siri kubwa inayofanya Mkurugenzi wa magazeti ya Udaku, Eric Shigongo, kumchukia na kitendo kinachopelekea kumchafua kila leo katika magazeti hayo.

Akilalamikia suala hilo ktk post yake aliyoiweka kwenye mtandao wa kijamii wa instagram, amesema kwa anaye muamini ameapa kufa na kupona kupambana na Shigongo ikiwa ni pamoja na kutoa siri nzito inayofanya amchafue.

“Ipo siku nitaongea ukweli kuhusu Shigongo na ushahidi ninao na nipo tayari kupigana nae hadi tone langu la damu la mwisho” Alisema hayo Uwoya na mengine mengi.
Picha hapo chini ni jinsi uwoya alivyotoa malalamiko hayo ambayo watu wengi wametafsiri kuwa kulikuwa na kuombana MAPENZI kati yao.

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA