PICHA&Maelezo: SHAMBULIO LA KENYA. Vifo 39 vyathibitishwa, Al shabab wakiri kufanya shambulio, 150 Wajeruhiwa

Afisa mkuu wa Alshabaab, amefahamisha jamii kwa Twitter kuwa kundi hilo ndilo limehusika na shambulizi dhidi ya duka la kifahari la Westage mjini Nairobi Kenya.

Kwa mujibu wa Afisa huyo mashambulizi hayo yalikuwa ya kulipiza kisasi kwa Kenya kwa kujihusisha na vita vya Somalia ambako wanajeshi wake wanakabiliana na kundi hilo.

Raisi Uhuru Kenyatta athibitisha vifo 39 na wengine zaidi ya 150 kujeruhiwa na ameongeza kuwa mshukiwa mmoja aliyekamatwa alifariki kutokana na majeraha yake.

Taarifa hiyo Twitter ilisema kuwa Shambulio la Westgate ni tone tu katika bahari ya mfano wa yanayowakuya..

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA