
Mahakama ilitupilia mbali kesi yake ya rufaa
baada ya yeye na mwanamuziki mwenzake kupatikana na hatia mwezi jana ya
kuwatusi maafisa wakuu katika tamasha la muziki eneo la Hammamet.
Wawili hao awali walihukumiwa bila ya wao kuwepo mahakamani kutumikia kifungo cha miezi 21 lakini hukumu hiyo iliondolewa.
No comments:
Post a Comment