Diamond ni moja kati ya walokwama baada ya Uwanja wa Ndege Nairobi Kenya kulipulia

Diamond Platnums akiwa ni miongoni wa abiria waliokwama kutokana na uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Kenya Nairobi kulipuliwa, Diamond amesema  kwamba imebidi abiria wapelekwe hotelini na kuambiwa inawezekana ndege zikaanza kuruka saa moja au saa mbili usiku leo ambapo taarifa walizozisikia ni kwamba ni shambulio la bomu.

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA