WALTER: Ziara hii anatambulisha Album

Picha kutoka kushoto ni Walter Chilambo mshindi wa EBSS mwaka 2012,
Awaichi Mawalla (Meneja mkuu mawasiliano), Nsami Nkwabi na Norman Severino.
Washiriki wa EBSS walikuwa na mkutano na waandishi wa Habari uliofanyikia Maisha Club leo hii asubuhi kuhusu Uzinduzi wa ziara yao ya kimuziki ambapo Walter Chilambo ataachia Album yake ya kwanza katika Ziara hiyo itakayoanzia mkoani Dodoma Ijumaa ya wiki hii.

1 comment:

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA