"KIVULI" ya Wastara na Marehemu Sajuki yaingia sokoni LEO

Filamu aliyoigiza Marehemu Sajuki na mkewe Wastara iitwayo KIVULI imeingia sokoni rasmi leo. Filamu hiyo imeandaliwa na kampuni yao Wajay Film Co. na kusambazwa na kampuni ya Steps Int.

Ingia sokoni kupata nakala yako halisi kukuza sanaaa ya Tanzania.

No comments:

Post a Comment

SKILIZA & DOWNLOAD MIXING ZA DJ SPEED wa HighLands FM Radio HAPA